Institute of Languages (INSTL)

Permanent URI for this collection

Browse

Recent Submissions

Now showing 1 - 20 of 28
  • ItemEmbargo
    Mchango Wa Mbinu Za Kufundisha Sarufi Ya Kiswahili Kwa Ubora Wa Mazungumzo Na Utendaji Wa Wanafunzi Wa Shule Za Upili Za Umma, Tukilenga Kaunti Ndogo Ya Kambuga Wilayani Kanungu Nchini Uganda.
    (Kabale University, 2019) Natushemereirwe, John
    Kusudi la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza mchango wa mbinu zinazotumika kufunza Lugha ya Kiswahili na umilisi wa mazungumzo ya wanafunzi katika lugha ya Kiswahili. Utafiti huu pia ulichunguza nafasi ya vifaa katika kufanikisha ufundishaji wa sarufi. Isitoshe, utafiti huu ulibainisha mazoezi wanayopewa wanafunzi ili kuimarisha sarufi na mazungumzo.
  • ItemEmbargo
    Changamoto Zinazokumba Wa Nafunzi Wa Vyuo Vya Juuwila Yani Kabale Nchiniuganda.
    (Kabale University, 2019) Ayebare, Rabecca
    Suala la changamoto zinazowak:umba wanafunzi limewavutia wataalamu wengi. Hata hivyo, hak:una utafiti mwingi ambao umefanyiwa juu ya changamoto zinazowakumba wanafunzi wa vyuo nchini Uganda. K wa hivyo, utafiti huu ulifanya uchunguzi juu ya changamoto zinazowakumba wanafunzikatika vyuonchini Uganda. Utafiti huu ulifanywa katika eneo la Munispaa ya Kabale wilayani Kabale Kusini Magharibi Uganda. Chanagamoto zinazowak:umba wanafunzi katika vyuo zilichunguzwa kwa kuangalia jinsia, miaka pamoja kozi mbali mbali zinazoshughulikiwa na wanafunzi mbali mbali katika vyuo vilivyofanyiwa uchunguzi katika somo hili.Madhumuni ya uchunguzi huu yalikuwa Kutambua asili ya changamoto zinazokumba wanafunzi katika vyuo, Kuchunguza jinsia ya wanafunzi ambao wanakumbwa hasana changamoto hizo nchini Uganda pamoja na Kubainisha njia za kukabiliana na changamoto zinazowakumba wanafunzi katika vyuo vya juu nchini Uganda kwa kulenga wilaya ya Kabale. Utafiti huu umeundwa na sura tano yaani sura ya kwanza, pili, tatu, nne na tano. Sura ya Kwanza imeshughulikia Utangulizi, Tatizo la utafiti, Malengo ya Utafiti, maswali ya utafiti Upeo wa utafiti, Umuhimu wa Utafiti na Changamotoza Utafiti.Sura ya Pili imeshughulikia Mapitio ya Kitaalama na ya yaliyoandikwa kuhusu changamoto zinazowakumba wanafunzi katika vyuo nchini Uganda pamoja na ujifunzaji wa Lugha ya Kiswahili.Imeelezea yaliyoandikwa kuhusu changamto zinazowakumba wanafunzi katika vyuo vya juu, mifumo ya elimu, aina za teknolojia na dhima ya teknolojia. Sura ya Tatu imezungumzia Njia na Mbinu za Utafiti.Imezungumzia Utangulizi, Eneo la Utafiti, Sampuli ya Utafiti na Usampulishaji, Ukusanyaji wa Data, Uchambuzi wa Data na Vifaa vya Utafiti.Sura ya Nne imeeleza juu ya Uwasilishaji na Uchambuzi wa data na hatimaye, sura ya tano ni muhtasari, matokeo muhimu, na mapendekezo ya ufiti huu.
  • ItemEmbargo
    Okushoboorora Amatembezo Agu Orikurabamu Kuhinga Oburo Kuruga Aha Kububanjurira Ekishaka Kuhika Aha Kuburya.
    (Kabale University, 2022) Amutuhaire, Elias
    Ebi mpandiikire omu kucondooza oku nibyoreka bimwe aha matembezo agu orikurabamu kuhinga oburo kuruga aha kububanjurira ekishaka kuhika aha kuburya omuri Nyansoro, Kicuzi, Ibanda. Kandi ninyesiga ngu kuhwera abashomi n'abeegi ba butoosha kwetegyeereza gye rurimi orurikukoreesibwa omu bicweka bitari bimwe eby'amatembezo ogu orikurabamu kuhinga oburo kwiha aha kububanjurira ekishaka kuhika aha kuburya. Okucondooza oku kugyendereire kuhwera abo abatarikumanya amatembezo agu orikurabamu waaba noohinga oburo, ebi oshemereire kukora: kykrb; okwombera, okugyesha n'ebindi. Ekindi, okucondooza oku kugyendereire kuhisya aha beegi b'amatendekyero g'ahaiguru n'aha bantu abandi amatembezo agu orikurabamu omu kuhinga oburo kuhika aha kuburya, agu barikumanya n'agu batarikumanya, agu baarahuriireho nari agu batakahuriragaho.
  • ItemEmbargo
    Dhia Ya Methali Ktika Ukuza.Ji Wa Nidhamu Baina Ya W Anajamii Kijijini BungandaroWilayanirubanda Nchini Uganda.
    (Kabale University, 2021) Atwinlramasiko, Ivan
    Utafiti huu ulikuwa na lengo la kuchunguza dhima ya methali katika ukuzaji wa nidhamu baina ya wanajamii kijijini Bungandaro, wilayani Rubanda nchini Uganda. Dhima za methal i katika ukuzaji wa nidhamu zilichunguzwa katika utafiti huu. Aid ha utafiti huu umeziainisha methali katika makundi matatu makuu, yaani uainishaji huu hutegemea maana ya ndani pamoja na maana ya nje na walengwa wa methali husika. Vile vile, methali zimeainishwa kulingana na maudhui ya kirnsingi yanayowasilishwa ndani ya methali hiyo hiyo, pamoja na uainisho wa kimafunzo. Makundi hayo ni pamoja na: Methali za kukashifu tabia mbaya miongoni mwa wanajamii, Methali za kuhimiza heshima kwa wazima miongoni mwa wanajamii pamoja na Methali za kuleta amani miongoni mwa wanajamii. Basi, makundi haya yote hukuza na kutimiza swala la nidhamu baina ya wanajamii. Utafiti huu umeundwa na sura tano yaani sura ya kwanza, pili, tatu, nne na tano. Sura ya Kwanza imeshughulikia Utangulizi, Tatizo la utafiti, Malengo ya Utafiti, Upeo wa utafiti, Umuhimu wa Utafiti na Changamoto zilizoukabili utafiti huu. Sura ya Pili imeshughulikia Mapitio ya Kitaaluma na ya Kazi tangulizi ambapo imeelezea yaliyoandikwa kuhusu methali na jinsi zinavyoweza kukuza nidhamu baina ya wanajamii. Aidha, imeelezea yaliyoandikwa kuhusu makundi parnoja na uanisho wa methali katika hali au masuala tofauti tofauti. Kadhalika, sura ya pili imeelezea Pengo la Maarifa na Kiunzi cha utafiti wa awali pamoja na jinsi utafiti huu ulivyoziba kiunzi au pengo fiilo. Sura ya Tatu imezungumzia Njia na Mbinu za Utafiti. Imezungumzia Utangulizi, Eneo la Utafiti, Sampuli ya Utafiti na Usampulishaji, Ukusanyaji wa Data. Uchambuzi wa Data na Vifaa vya Utafiti.Sura ya Nne imeeleza juu ya Uwasilishaji na Uchambuzi wa data,ambapo imeelezea aina za teknolojia ambazo huwa na dhima katika ukuzaji wa nidhamu. Sura ya tano imeeleza juu ya Muhtasari wa Utafiti na Mapendekezo.
  • ItemEmbargo
    Uhakiki Wa Mtindo Wa Lug Ha Ka Tika Riwaya Ya Ndoto Ya Almasi Na Ken Walibora.
    (Kabale University, 2022) Nuwamanya, Levinari
    Matini yoyote ya fasihi huhitaji kusomwa na kueleweka iii ipate kuwa na maana. Hata hivyo, kueleweka kwa matini hujitokeza ikiwa msomaji ataelewa mtindo uliotumika. Japo huu ndio ukweli, tafiti nyingi zilizofanywa hazijaangazia mtindo kama kipengele kinachojisimamia na tena maarufu katika kufafanua maudhui.Vipengele vya kimtindo pia vina ushirikiano na uhusiano mkubwa katika kupitisha ujumbe uliokusudiwa katika kazi ya kisanaa. Fauka ya hayo, matumizi mwafaka ya vipengele mbalimbali vya kimtindo huifanya kazi ya fasihi kuwa na mnato, mvuto na uzuri wa kipekee. Hata hivyo, matumizi mabaya ya mtindo hupelekea kazi ya kifasihi kukosa usanii na hata uzuri wake, yaani huwa chapwa na huathiri namna ujumbe unavyomfikia msomaji. Msanii yeyote anapokata shauri kuchagua vipengele fulani vya kisanaa sharti viweze kuvutia hadhira, kuchokonoa na kuathiri hisia zao. Mtindo unakuwa ni kigezo cha kupimia kufaulu au kutofaulu kwa msanii katika usanii wake. Mtunzi wa riwaya huhitaji weledi wa hali ya juu iii kuweza kufikia upeo wa ubunifu wake. Mapitio tangulizi ya maandishi yameonyesha kuwa hakuna utafiti uliofany wa kwa kina katika kubainisha mtindo kwenye riwaya ya Ndoto ya Almasi.
  • ItemEmbargo
    L'effet De L'environment Sur L'enseignement Et L'apprentissage De La Langue Francaise Dans Le District De Lira.
    (Kabale University, 2021) Oyugi, Jackson
    L'Ouganda est l'un des pays qui forment la communaute d'Afrique de l'Est. Deux pays de la communaute d'Afrique de l'Est; Le Burundi et le Rwanda ont utilise le francais comme langue officielle et comme moyen d'enseignement, bien que le Rwanda ait plus tard change la langue d'enseignement en anglais. Meme la Republique democratique du Congo, qui partageait directement des frontieres avec l'Ouganda, utilise le francais comme langue officielle et langue d'enseignement. L'etude vise specifiquement a decouvrir l'impact de l'environnement sur l'enseignement-apprentissage du francais a Lira.
  • ItemEmbargo
    Okushoboorora Aha Burugo Bwa Gamwe Aha Maziina G'abantu Agarikuk Wata Aha Naku N'okubonabona Omuri Ankole Disiturukiti Ya Ntungamo.
    (Kabale University, 2022) Nuwasiima, Patience
    Ebi mpandiikire omu kucondooza oku nibyereka gamwe aha maziina g'abantu agarikukwata aha naku n'okubonabona omuri Ankole, okukira munonga omuri Ntungamo-Disiturikiti, hamwe n'amakuru gaago, kandi niinyesiga ngu nibiija kuhwera abeegi hamwe n'enkunzi z'okushoma ebihandiiko bya Runyankore/Rukiga okumanya amakuru g'amaziina gaabo kandi n'okubaha amaziina againe amakuru, agubakubaasa kurondamu ag'okubatiza abaana baabo.
  • ItemEmbargo
    Okurunda Ana Ebigambo Ebigumire Ebi Abahandiki Ba Runyankore-Rukiga Bakoreise, Amakuru N'enkoresa Yaabyo.
    (Kabale University, 2023) Atwine, Brendah
    Ebi mpandiikire omu kucondooza oku nibyooreka Ebigambo ebigumire ebi abahandiiki ba Runyankore-Rukiga bakoreise amakuru n'enkoresa yaabyo. Kandi nimpamya ngu nikiija kuhwera abashomi namunonga enkunzi z'orurimi kwetegyeereza gye amakuru g'ebigambo bitari bimwe ebitarikurahuka kwetegyerezibwa.Okucondooza oku kugyendereire kumanya hamwe n'okushoboorora bigambo ebigumire,amakuru n'enkoresa yaabyo kwenda ngu bimanywe nikwo byeyongyere kujanjaara n'okukoresibwa obutoosha.
  • ItemOpen Access
    Mtazamo Wa Walimu Wa Kiswahili Ka Tika Shule Za Upili Kuhusu UbadilishaJi Wa Mtaala Wa Elimu Wilay Ani Kabale Nchini Uganda.
    (Kabale University, 2023) Akakikunda, Brenda
    Utafiti huu unahusu mtazamo wa walimu wa Kiswahili kuhusu ubadilishaji wa mtaala wa elimu nchini Uganda tukilenga wilaya ya Kabale. Utafiti huu ulibainisha mitazamo mbalimbali ya walimu na wanaelimu wengine, Changamoto zinazoweza kuukabili mtaala mpya pia na masuluhisho ya Changamoto zinazoweza kuukabili mtaala mpya huku tukifuatilia Malengo ya Utafiti huu. Utafiti huu ulifanyiwa katika shule mbalimbali Wilayani Kabale na shule hizo ni Kabale secondary school.St. Marys'College Rushoroza, Kigezi High School na BrainStorm High. Wahojiwa kumi ndio waliolengwa katika Utafiti huu kutoka katika Kila shule lililohusishwa yaani walimu watano na wanafunzi watano. Utafiti huu ulitumia muundo wa kimaelzo kutambua changamoto zinazoweza kukabili ubadilishaji wa mtaala. Mbinu za mahojiano, usomaji na usaili kukusanya data. K.upitia kwa vifaa vya hojaji na usaili wa moja kwa moja pamoja na usomaji. Nilipata changamoto kadhaa katika utafiti huu yaani; wanafunzi walikuwa hawajui kuongea Kiswahili ambacho kiliathiri mawasiliano, idadi ya wanafunzi ilikuwa nyingi ambacho kilinitatiza katika uchaguzi wa watafitiwa. Utafiti huu ulidhamiria kuwafaidi walimu wa K.iswahili iii kuwa na mtazamo mwema juu ya mtaala mpya ambacho kitawabidi kufanya iwezekanavyo kuona kwamba wanakidhi mahitaji ya mtaala mpya kwa kufuatilia maagizo ya mtaala mpya.
  • ItemOpen Access
    Amakuru G'emiguutuuro N'enkozesa Yaa Yo Omu Runyankore -Rukiga Omuri Rukiga Disiturikiti Omu Igombororo Rya Rwamucuucu.
    (Kabale University, 2023)
    Ebicondoorize birooreka "Amakuru g'emiguutuuro n'enkozesa yaayo omu Runyankore-Rukiga". Kandi ndeesiga ngu biraza kuhwera abeegyesa, abeegi n'enkuzi z'orurimi okwetegyereza gye Amakuru g'emiguutuuro n'enkozesa yaayo omu Runyankore -Rukiga.
  • ItemEmbargo
    Methali Kama Kielezo Cha Shughuli Katika Jamii Ya Wahororo/ Wakiga Wilayani Rukungiri Nchini Uganda.
    (Kabale University, 2021) Nahurira, Ronnet
    Utafiti huu unahusu methali kama kielezo cha shughuli katika jamii ya Wahororo/ Wakiga wilayani Rukungiri, nchini Uganda. Hivyo ni kwamba somo hili liliongozwa na lengo kuu ambalo lilikuwa ni kubainisha shughuli zinazoelezwa na methali za kihororo pamoja na zile za Kikiga wilayani Rukungiri.Somo hili pia lilifuata malengo mahususi ambayo yalikuwa ni pamoja na: Kwanza, utafiti huu ulichunguza shughuli zinazoweza kuelezwa na methali katika Wahororo Wakiga nchini Uganda. Pili, utafiti huu ulibainisha uhusiano kati ya methali na matawi mengine ya fasihi simulizi na jinsi yanavyoweza kutumiwa kama kielezo cha shughuli za jamii ya Wahoro/Wakiga, nchini Uganda. Tatu, utafiti huu ulibainisha changamoto zinazokumba methali kama kielezo cha shughuli katika Wahororo/Wakiga wilayani Rukungiri pamoja na njia za kukabiliana na changamoto zinazokumba methali kutumiwa kama vielezo vya shughuli za Wahororo/ Wakiga wilayani Rukungiri. Utafiti huu ulifanyiwa wilayani Rukungiri katika vijiji vya Eisherero, Nyabihinga, Omukarere pamoja na Nyakashaka. Wahojiwa wazazi walitumiwa katika utafiti huu wakati wa kutoa data, walisaidia katika kutoa data kuhusu shughuli zinazoelezwa na methali pamoja na mifano ya methali zinazoeleza shughuli hizo. Utafiti huu uligundua kuwa ingawa methali hukumbwa na changamoto tofauti tofauti, zinarejelewa sana kama kielezo cha shughuli za Wahororo/Wakiga.
  • ItemEmbargo
    Enfumu Z'abanyankore Bakiga Amakuru N'emigasho Yaazo.
    (Kabale University, 2023) Orikiriza, Eudisi
    Ebi mpandiikire nibyeereka enfumu z'Abanyankore Bakiga, amakuru hamwe n'emigasho yaazo. Hamwe n'abashomi ba butoosha kwetegyereza gye amakuru g'enfumu z'Abanyankore Bakiga hamwe n'abo abarikwenda kuguma nibakoresa enfumu z'Abanyankore Bakiga omu kwenda kubutuura orurimi kandi hamwe n'emigambire ya Runyankore-Rukiga
  • ItemEmbargo
    Uchanganuzi Wa Utabaka Katika Tamthilia Ya Kilio Cha Haki Ya Alamin Mazrul.
    (Kabale University, 2023) Tayebwa, Novias
    Utafiti huu ulichunguza kuhusu "Uchanganuzi wa Utabaka Katika Tamthilia ya Kilio Cha Haki ya (Alamin Mazrui) ". Suala la utafiti huu lilikuwa: Watu katika jamii nyingi hasa hasa za kiafrika huathirika sana na athari za matabaka. Kwa sababu katikajamii nyingi kuna makabaila, kuna wale ambao waweza afadhali kukidhi mahitaji yao na kuna wale ambao hawajiwezi kabisa . Unapochunguza katika tamthilia ya Kilio cha Haki ya Ali Mazrui kuna makundi ya watu mbalimbali kama vile; wanacho, wanaojikidhi kimaisha na wasiojiweza . Suala la utabaka ni suala nyeti katika fasihi ya Kiswahili. Suala hili la utabaka limejitokeza mno katika uandishi wa Ali Mazrui ingawa hakuna watafiti ambao warneishalichunguza. Hii ndiyo sababu utafiti huu ulikusudia kutarnbulisha uhusiano uliopo baina ya matabaka rnbalimbali yanayojitokeza katika tamthilia ya Kilio cha Haki, kubainisha rnchango wa migogoro kati ya matabaka yaliyomo pamoja na kutathmini masuala yanayopigiwa vita na migogoro kati ya matabaka mbalimbali yaliyomo katika tamthilia hii kama vinavyoelezewa na mtunzi. Data za utafiti huu zilikusanywa kutoka maktabani kwa kutumia mbinu ya usornaji makini na uchunguzaji wa tamthilia ya Kilio cha Haki kwa kuisoma na kuichambua kwa kina na kuiwasilisha data kwa mbinu ya kiuthamano. Katika utafiti huu, mtafiti amegundua kwamba nchini Kenya kulingana na tamthilia ya Kilio cha Haki, kuna matabaka makuu rnawili ya walionacho na wasionacho. Tabaka la walionacho hujumuisha wahusika kama; Delamon, Tereki, Shindo, Matovu, Zari na Kimbo na tabaka la wasionacho hujumuisha wahusika kama; Lanina, Dewe, Musa na wengine. Hawa wanaendelea kutambika kwa kuongozwa vibaya, kulipwa mshahara duni, kunyanyaswa, kutonzwa kitu kidogo iii wasaidiwe, kulaumiwa na kutamauka. Mtafiti pia amegundua baadhi ya mambo rnbalirnbali yanayopigiwa vita na mwandishi katika tamthilia ya Kilio cha Haki pamoja na jam ii mbalimbali za kiafrika. Jarnbo la kwanza linalopigiwa vita ni rushwa pamoja na athari zake kwani rushwa irnesababisha vijitabia vingi vikiwerno, uchafu wa mazingira, dharau, uvundo nidharnu, pamoja na malalamiko ya kutamauka. Vile, suala jingine linalopigiwa vita na rnwandishi Alamin Mazrui ni utabaka. Utafiti huu una umuhimu rnkubwa katika uwanja wa fasihi. Hii ni kwa sababu ulikuwa ni wa kwanza kuchunguza utabaka katika tamthilia ya Kilio cha Haki ya (Alamin Mazrui), Zaidi ya hayo, utafiti huu utakuwa dira na mwongozo kwa watafiti wengine watakaochunguza zaidi kuhusu utabaka.
  • ItemEmbargo
    Safiri Wa Pikipiki Unavyosawiri Ujifunzaji Wa Lugha Ya Kiswahili Nci-Uni Uganda.
    (Kabale University, 2023) Turinawe, Alex
    Kwa hali safiri wa pikipiki huonekana kuchangia sana katika ujifunzaji wa lugha ya Kiswahili nchini gnda licha ya kuwa hakuna uchunguzi wowote ambao umeshafanywa ili kudhihirisha ukweli Kwa hivyo, utafiti huu unalenga kuchuriguza jinsi usafiri wa pikipiki unavyosawiri unzaji wa lugha ya Kiswahili nchini Uganda mintarafu wilayani Ibanda.
  • ItemOpen Access
    Dhima Ya Nyenzo Ka Tika Ufundishaji Na Ujifunzaji Wa Kjsw Ahili Ka Tika Shule Za Upili Ka Tika Muni Sp Ali Ya Kabale.
    (Kabale University, 2023) Ahereza, Promise
    Ufundishaji ni hatua inayohusisha mawasiliano kati ya mwalimu na mwanafunzi au kati ya wanafunzi wenyewe. Mawasiliano huhusisha mwanzo wa ujumbe, njia ya kupitisha ujumbe huo na mpokeaji wa ujumbe huo. Njia za upokeaji wa ujumbe huo hufanikishwa na kuwepo au kutokuwepo kwa nyenzo. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza dhima ya nyenzo katika ufundishaji wa Kiswahili katika shule za upili katika munispali ya Kabale.
  • ItemOpen Access
    Mchan Go Wa Utenzi Wa Mw Anakupona Ka Tika Ukuzaji Na Uendelezaji Wa Lugha Ya Kiswahili Miongoni Mwa Vijana Wa Leo Nchini Uganda.
    (Kabale University, 2023) Kobusingye, Eudia
    Utenzi wa mwanakupona ni utenzi ambao umekuwa unarejelewa na wasomi au hata na jamii nzima kwa haja ya kurekebisha nidhamu za kijamii au hata na utunzi wa ndoa za kawaida, Lugha ya kiswahili chini Uganda. Lengo kuu katika utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza mchango wa utenzi wa mwanakupona katika ukuzaji na uendelezaji wa lugha ya Kiswahili miongoni mwa VIJana wa leo nchini Uganda
  • ItemOpen Access
    Ebimera N'ebiti Omu Igomborora Rya Ikumba, Disiturikiti Ya Rubanda, Uganda, N'endwara Ezi Birikutamba.
    (Kabale University, 2023) Akankwasa, Sam
    Obwahati, obukaikuru bw'abantu omu nsi yoona nibarya ninga bakozesa ebimera nk'ebyokurya, okwombeka oburaaro, okukora ebijwaro, emibazi kandi hamwe n'ebindi bintu bitari bimwe na bimwe. Ebimera ebingi biine omugasho omu nsi egi, beitu hariho ebyo ebiine omugasho kwonka abantu batarikubimanya. N'okumanya amaziina g'ebimera n'ebiti by'ekikiga n'endwara ezi birikutamba obwo turikwebuuza aha bantu abarikuzaarwa omu lgomborora rya lkumba, omu Disiturikiti ya Rubanda.
  • ItemOpen Access
    Athari Za Siasa Ka Tika Kukuza Lugha Ya Kisw Ahili Wila Yani Kabale Nchini Uganda.
    (Kabale University, 2023) Owoyesiga, Nichorus
    Wilayani Kabale, baadhi ya wanasiasa wamechangia kikubwa sana hasa juu ya ukuaji na uendelezaji wa lugha ya Kiswahili kwa mfano, Waziri David Bahati ambaye ni Waziri wa biashara na viwanda alijitahidi kuinua baadhi ya shule hasa shule ya Mtakatifu Barnarbas Karujanga kwa kuiombea ufadhili wa serikali. Wanafunzi wanaosomea huko sasa wanapata maarifa juu ya lugha hii ya Kiswahili. lengo kuu la utafiti huu ni kuchunguza athari ya siasa katika kukuza lugha ya Kiswahili nchini Uganda, wilayani Kabale.
  • ItemEmbargo
    Okushwijuma Enshonga Ezirikureetera Ebigambo By'orurimi Rwa Runyankore Byahindahinduka N'oku Orurimi Rwakubaasa Kugarurwa Aha Mutindo.
    (Kabale University, 2023) Birundainwe, Asiimwe Macknon
    Orurimi rw'Orunyankore niruhwera abantu nk' Abanyankore, Abakiga okuhurizangana. N'obu Orukiga, Orunyoro hamwe n'orutooro ziine entaniso omu ngamba hamwe n'enyaura y'Onmyankore kwonka entaaniso omu mpurizingana eriho nkye. Orurimi rw'Orunyankore rukozirwe omu bigambo bitari bimwe na bimwe ebirikwombeka orurimi Orunyankore rukaguma ruri Qrunyankore kwonka ebigambo ebi bigumire nibihinduka oshanga obumwe haazamu ebigambo bisya hamwe n'eby'enduga-mahanga.
  • ItemEmbargo
    Akarungi K'ebyeshongoro Omu Mituurire Y'abanyankore.
    (Kabale University, 2023) Ainembabazi, Cosiranta
    Ebi mpandiikire omu kucondooza oku nibyoreeka akarungi k'ebyeshongoro omu mituurire y'Abanyankore kandi okucondooza oku kugyendereire kworeka akarungi nainga emigasho y'ebyeshongoro omu mituurire y' Abanyankore.