Institute of Languages (INSTL)
Permanent URI for this collection
Browse
Browsing Institute of Languages (INSTL) by Title
Now showing 1 - 20 of 37
Results Per Page
Sort Options
Item Embargo Akarungi K'ebyeshongoro Omu Mituurire Y'abanyankore.(Kabale University, 2023) Ainembabazi, CosirantaEbi mpandiikire omu kucondooza oku nibyoreeka akarungi k'ebyeshongoro omu mituurire y'Abanyankore kandi okucondooza oku kugyendereire kworeka akarungi nainga emigasho y'ebyeshongoro omu mituurire y' Abanyankore.Item Restricted Amakuru G'emiguutuuro N'enkozesa Yaa Yo Omu Runyankore -Rukiga Omuri Rukiga Disiturikiti Omu Igombororo Rya Rwamucuucu.(Kabale University, 2023)Ebicondoorize birooreka "Amakuru g'emiguutuuro n'enkozesa yaayo omu Runyankore-Rukiga". Kandi ndeesiga ngu biraza kuhwera abeegyesa, abeegi n'enkuzi z'orurimi okwetegyereza gye Amakuru g'emiguutuuro n'enkozesa yaayo omu Runyankore -Rukiga.Item Open Access Athari Ya Maumbo Ya Lugha Ya Kiswahili Katika Msamia Ti Wa Lugha Ya Lufumbira.(2021) Sunday, EmmanuelUchunguzi huu ulihusu athari za maumbo ya lugha ya Kiswahili kwa msamiati wa Lufumbila nchini Uganda tukilenga wilaya ya Kisoro. Uliendeana na maakisio ya malengo mawili muhimu yaliyoungoza tangu mwanzo hadi mwisho. Lengo kuu la uchunguzi huu lilikuwa ni kubainisha athari za maumbo ya Kiswahili katika msamiati wa Lufumbila. Hata hivyo, malengo mahususi ya uchunguzi huu, yalikuwa ni pamoja na Kutambua jinsi athari za maumbo ya zinazvyojitokeza baina ya Kiswahili na Lufumbira, lengo la pili lilikuwa ni Kubainisha njia za kukabiliana na athari za Kiswahili katika msamiati wa Lufumbila. Utafiti huu ulitumia mbinu ya hojaji, matumizi ya maktaba pamoja na mahojiano. Hojaji ilitumiwa kwa kuandika maswali kwenye makaratasi na kuyapelekeya watafitiwa. Matumizi ya maitaba ni mbinu nyingine iliyotumiwa katik kukusanya data, makala ya watafiti wa awali yalisomwa moja kwa moja kwa kulingana namalengo ya utafiti. Mbinu nyingine ni mahojiano, pia katika utafiti huu tulitumia mazungumzo ya ana kwa ana huku tukifanya maakisio na malengo ya utafiti huu. Keywords: Athari, Maumbo, Lugha, Kiswahili Katika Msamia Ti, Lugha, Lufumbira.Item Restricted Athari za Runyankole-Rukiga Katika Uandishi wa Insha Za Kiswahili Miongoni mwa Wanafunzi wa Shule za Upili wila yani Kabale.(Kabale University, 2021) Musiimenta, DonathKutambua athari za Runyankole- Rukiiga kwenye uandishi wa insha za Kiswahili miongoni mwa wanafunzi, Kueleza athari zinazojitokeza katika uandishi wa insha za Kiswahili miongoni mwa wanafunzi, Kuelezavyanzo vya athari katika uandishi wa insha na wanafunzi. Utafiti huu ulikuwa unawalenga wanafunzi wa kidato cha nne na sita ambao wanashughulikia uandishi wa insha na walimu wao watatu. Mtafiti alimhoji kila mwanafunzi ambapo moja wao walijua Kiswahili ipasavyo kilichomletea kupata data chache.Item Restricted Athari Za Siasa Ka Tika Kukuza Lugha Ya Kisw Ahili Wila Yani Kabale Nchini Uganda.(Kabale University, 2023) Owoyesiga, NichorusWilayani Kabale, baadhi ya wanasiasa wamechangia kikubwa sana hasa juu ya ukuaji na uendelezaji wa lugha ya Kiswahili kwa mfano, Waziri David Bahati ambaye ni Waziri wa biashara na viwanda alijitahidi kuinua baadhi ya shule hasa shule ya Mtakatifu Barnarbas Karujanga kwa kuiombea ufadhili wa serikali. Wanafunzi wanaosomea huko sasa wanapata maarifa juu ya lugha hii ya Kiswahili. lengo kuu la utafiti huu ni kuchunguza athari ya siasa katika kukuza lugha ya Kiswahili nchini Uganda, wilayani Kabale.Item Embargo Changamoto Za Mtalaa Mpya Katika Ufundishaji Wa Lugha Ya Kiswahili Kwa Walimu Shule Za Upili, Wilayani Kasese.(Kabale University, 2024) Biira, JanetUtafiti huu ulitazamia kushughulikia changamoto za mtalaa mpya katika ujifunzaji na ufundishaji wa lugha Kiswahili kwa walimu wa shule za upili wilayani kasese. Malengo ya utafiti huu yalikuwa kuchunguza changamoto za mtalaa mpya katika ufundishaji wa lugha ya Kiswahili, kutambua mabadiliko yaliyopo kati ya mtalaa mpya na mtalaa wa zamani, kuchunguza mikakati mbalimbali inayoweza kuwekwa ilikufanikisha ufundishaji wa lugha ya Kiswahili katika mtalaa wa mpya. Maswali ya utafiti huu yalikuwa; kwanza, mtalaa mpya unachangamoto zipi katika ufundishaji na ujiunzaji wa lugha ya kiswahi? Pili, je, kuna mabadiliko yoyote kati ya mtalaa mpya na mtalaa wa zamani? Tatu, ni mikakati ipi inayoweza kuwekwa ili kufanikisha ufundishaji wa na ujifunzaji wa wa lugha ya Kiswahili katika mtalaa mpya? Utafiti huu ulitumia utaratibu wa ukusanyaji data nyanjani au uwanjani kwa kutumia mbinu ya mahojiano. Vile vile, hojaji ilitumiwa (wanafunzi wa lugha ya Kiswahili). Mtafiti alitumia jumla ya shule sita mkiwemo shule ya upili ya Bwera, shule ya upili ya Karambi, shule ya upili ya St. Charles, shule ya upili ya Nyabugando Baptist, shule ya upili ya Hillside na ile ya Alliance zipatikanzo katika wilaya ya Kasese. Pia, mtafiti alitumia jumla ya shule sita za upili ambapo tatu zilikuwa ni za serekali na nyingine mbili ambazo ni za kibinafsi katika ukusanyaji wa data ya utafiti wake. Isitoshe, kutokana na matokeo ya utafiti huu yalidhihirisha kuwa kuwa kuna changamoto mbalimbali zilizotokana na mtalaa mpya mkiwemo; ukosefu wa vifaa vya kufundishia kama vitabu, upungufu wa vipindi vya Kiswahili, wanafunzi kulazimishwa kufanya miradi katika somo la Kiswahili na ukosefu wa walimu katika baadhi ya sehemu nchini Uganda. Pia utafiti huu kupitia data zake za uwanjani zilidhihirisha mabadiliko yafuatayo katika mtalaa mpya; kupunguka kwa vipindi, masomo yote kuchukua mfumo wa umilisi, wanafunzi kuchukua sehemu kubwa katika ufundishaji na ujifunzaji na kufanya miradi. Kuhusu mikakati ya kuweza kufanikisha ufundishaji katika mtalaa mpya hno ni kuwaruhusu wanafunzi kutumia Kiswahili katika mawasiliano yao ya kila siku, kutumia vifaa halisi na walimu kama vya kiteknolojia, kufundisha sarufi vilivyo. Mwisho kabisa, utafiti huu umetoa mapendekezo mbalimbali kwa walimu na wizara ya elimu kama kuongeza vipindi kwnye ratiba angalau vine kila wiki na kila kidato, wizara ya elimu kutoa vifaa vya kutosha vya kufundishia, wazazi na wakuu washule kuarifia kuhusu umuhimu/nafasi ya Kiswahili katika jumuiya Afrika Mashaariki, walimu kuongoza wanafunzi katika vipindi vya Kiswahili ipasavyo. Haya yakizingatiwa, yanaweza kuleta mabadiliko katika ufundishaji wa Kiswahili katika mtalaa mpya wa shule za upili.Item Embargo Changamoto Zinazokumba Wa Nafunzi Wa Vyuo Vya Juuwila Yani Kabale Nchiniuganda.(Kabale University, 2019) Ayebare, RabeccaSuala la changamoto zinazowak:umba wanafunzi limewavutia wataalamu wengi. Hata hivyo, hak:una utafiti mwingi ambao umefanyiwa juu ya changamoto zinazowakumba wanafunzi wa vyuo nchini Uganda. K wa hivyo, utafiti huu ulifanya uchunguzi juu ya changamoto zinazowakumba wanafunzikatika vyuonchini Uganda. Utafiti huu ulifanywa katika eneo la Munispaa ya Kabale wilayani Kabale Kusini Magharibi Uganda. Chanagamoto zinazowak:umba wanafunzi katika vyuo zilichunguzwa kwa kuangalia jinsia, miaka pamoja kozi mbali mbali zinazoshughulikiwa na wanafunzi mbali mbali katika vyuo vilivyofanyiwa uchunguzi katika somo hili.Madhumuni ya uchunguzi huu yalikuwa Kutambua asili ya changamoto zinazokumba wanafunzi katika vyuo, Kuchunguza jinsia ya wanafunzi ambao wanakumbwa hasana changamoto hizo nchini Uganda pamoja na Kubainisha njia za kukabiliana na changamoto zinazowakumba wanafunzi katika vyuo vya juu nchini Uganda kwa kulenga wilaya ya Kabale. Utafiti huu umeundwa na sura tano yaani sura ya kwanza, pili, tatu, nne na tano. Sura ya Kwanza imeshughulikia Utangulizi, Tatizo la utafiti, Malengo ya Utafiti, maswali ya utafiti Upeo wa utafiti, Umuhimu wa Utafiti na Changamotoza Utafiti.Sura ya Pili imeshughulikia Mapitio ya Kitaalama na ya yaliyoandikwa kuhusu changamoto zinazowakumba wanafunzi katika vyuo nchini Uganda pamoja na ujifunzaji wa Lugha ya Kiswahili.Imeelezea yaliyoandikwa kuhusu changamto zinazowakumba wanafunzi katika vyuo vya juu, mifumo ya elimu, aina za teknolojia na dhima ya teknolojia. Sura ya Tatu imezungumzia Njia na Mbinu za Utafiti.Imezungumzia Utangulizi, Eneo la Utafiti, Sampuli ya Utafiti na Usampulishaji, Ukusanyaji wa Data, Uchambuzi wa Data na Vifaa vya Utafiti.Sura ya Nne imeeleza juu ya Uwasilishaji na Uchambuzi wa data na hatimaye, sura ya tano ni muhtasari, matokeo muhimu, na mapendekezo ya ufiti huu.Item Open Access Dhia Ya Methali Katika Ukuzaji Wa Nidhamu Baina Ya W Anajamii Kijijini Bungandaro, Wila Y Ani Rubanda Nchini Uganda(Kabale University, 2021) ATwiniramasiko, IvanUtafiti huu ulikuwa na lengo la kuchunguza dhima ya methali katika ukuzaji wa nidhamu baina ya wanajamii kijijini Bungandaro, wilayani Rubanda nchini Uganda. Dhima za methali katika ukuzaji wa nidhamu zilichunguzwa katika utafiti huu. Aidha utafiti huu umeziainisha methali katika makundi matatu mak uu, yaani uainishaji huu hutegemea maana ya ndani pamoja na maana ya nje na walengwa wa methali husika. Vile vile, methali zimeainishwa kulingana na maudhui ya kirnsingi yanayowasilishwa ndani ya methali hiyo hiyo, pamoja na uainisho wa kimafunzo. Makundi hayo ni pamoja na: Methali za kukashifu tabia mbaya miongoni mwa wanajamii, Methali za kuhimiza heshima kwa wazima miongoni mwa wanajamii pamoja na Methali za kuleta amani miongoni rnwa wanajamii. Basi, makundi haya yote hukuza na kutimiza swala la nidhamu baina ya wanajamii. Utafiti huu umeundwa na sura tano yaani sura ya kwanza, pili, tatu, nne na tano. Sura ya Kwanza imeshughulikia Utangulizi, Tatizo la utafiti, Malengo ya Utafiti, Upeo wa utafiti, Umuhimu wa Utafiti na Changamoto zilizoukabili utafiti huu. Sura ya Pili imeshughulikia Mapitio ya Kitaaluma na ya Kazi tangulizi ambapo imeelezea yaliyoandikwa kuhusu methali na jinsi zinavyoweza kukuza nidhamu baina ya wanajamii. Aidha, imeelezea yaliyoandikwa kuhusu makundi pamoja na uanisho wa methali katika hali au masuala tofauti tofauti. Kadhalika, sura ya pili imeelezea Pengo la Maarifa na Kiunzi cha utafiti wa awali pamoja na jinsi utafiti huu ulivyoziba kiunzi au pengo hilo. Sura ya Tatu imezungumzia Njia na Mbinu za Utafiti. Imezungumzia Utangulizi, Eneo la Utafiti, Sampuli ya Utafiti na Usampulishaji, Ukusanyaji wa Data, Uchambuzi wa Data na Yifaa vya Utafiti.Sura ya Nne imeeleza juu ya Uwasilishaji na Uchambuzi wa data,ambapo imeelezea aina za teknolojia ambazo huwa na dhima katika ukuzaji wa nidhamu. Sura ya tano imeeleza juu ya Muhtasari wa Utafiti na Mapendekezo.Item Restricted Dhia Ya Methali Ktika Ukuza.Ji Wa Nidhamu Baina Ya W Anajamii Kijijini BungandaroWilayanirubanda Nchini Uganda.(Kabale University, 2021) Atwinlramasiko, IvanUtafiti huu ulikuwa na lengo la kuchunguza dhima ya methali katika ukuzaji wa nidhamu baina ya wanajamii kijijini Bungandaro, wilayani Rubanda nchini Uganda. Dhima za methal i katika ukuzaji wa nidhamu zilichunguzwa katika utafiti huu. Aid ha utafiti huu umeziainisha methali katika makundi matatu makuu, yaani uainishaji huu hutegemea maana ya ndani pamoja na maana ya nje na walengwa wa methali husika. Vile vile, methali zimeainishwa kulingana na maudhui ya kirnsingi yanayowasilishwa ndani ya methali hiyo hiyo, pamoja na uainisho wa kimafunzo. Makundi hayo ni pamoja na: Methali za kukashifu tabia mbaya miongoni mwa wanajamii, Methali za kuhimiza heshima kwa wazima miongoni mwa wanajamii pamoja na Methali za kuleta amani miongoni mwa wanajamii. Basi, makundi haya yote hukuza na kutimiza swala la nidhamu baina ya wanajamii. Utafiti huu umeundwa na sura tano yaani sura ya kwanza, pili, tatu, nne na tano. Sura ya Kwanza imeshughulikia Utangulizi, Tatizo la utafiti, Malengo ya Utafiti, Upeo wa utafiti, Umuhimu wa Utafiti na Changamoto zilizoukabili utafiti huu. Sura ya Pili imeshughulikia Mapitio ya Kitaaluma na ya Kazi tangulizi ambapo imeelezea yaliyoandikwa kuhusu methali na jinsi zinavyoweza kukuza nidhamu baina ya wanajamii. Aidha, imeelezea yaliyoandikwa kuhusu makundi parnoja na uanisho wa methali katika hali au masuala tofauti tofauti. Kadhalika, sura ya pili imeelezea Pengo la Maarifa na Kiunzi cha utafiti wa awali pamoja na jinsi utafiti huu ulivyoziba kiunzi au pengo fiilo. Sura ya Tatu imezungumzia Njia na Mbinu za Utafiti. Imezungumzia Utangulizi, Eneo la Utafiti, Sampuli ya Utafiti na Usampulishaji, Ukusanyaji wa Data. Uchambuzi wa Data na Vifaa vya Utafiti.Sura ya Nne imeeleza juu ya Uwasilishaji na Uchambuzi wa data,ambapo imeelezea aina za teknolojia ambazo huwa na dhima katika ukuzaji wa nidhamu. Sura ya tano imeeleza juu ya Muhtasari wa Utafiti na Mapendekezo.Item Restricted Dhima ya Methali Ktika Ukuzaji wa Nidhamu Baina ya Wanajamii Kijijini Bungandaro, Wila Yani Rubanda Nchini Uganda.(Kabale University, 2022) Atwiniramasiko, IvanUtafiti huu ulikuwa na lengo la kuchunguza dhirna ya methali katika ukuzaji wa nidhamu baina ya wanajamii kijijini Bungandaro, wilayani Rubanda nchini Uganda. Dhima za methali katika ukuzaji wa nidhamu zilichunguzwa katika utafiti huu. Aidha utafiti huu umeziainisha methali katika makundi matatu makuu, yaani uainishaji huu hutegemea rnaana ya ndani pamoja na maana ya nje na walengwa wa rnethali husika. Vile vile, methali zirneainishwa kulingana na maudhui ya kimsingi yanayowasilishwa ndani ya methali hiyo hiyo, pamoja na uainisho wa kimafunzo. Makundi hayo ni pamoja na: Methali za kukashifu tabia mbaya miongoni mwa wanajamii, Methali za kuhimiza heshima kwa wazima miongoni mwa wanajamii pamoja na Methali za kuleta amani miongoni mwa wanajamii. Basi, makundi haya yote hukuza na kutimiza swala la nidhamu baina ya wanajamii. Utafiti huu umeundwa na sura tano yaani sura ya kwanza, pili, tatu, nne na tano. Sura ya Kwanza imeshughulikia Utangulizi, Tatizo la utafiti, Malengo ya Utafiti, Upeo wa utafiti, Umuhimu wa Utafiti na Changamoto zilizoukabili utafiti huu. Sura ya Pili imeshughulikia Mapitio ya Kitaaluma na ya Kazi tangulizi ambapo imeelezea yaliyoandikwa kuhusu methali na jinsi zinavyoweza kukuza nidhamu baina ya wanajamii. Aidha, imeelezea yaliyoandikwa kuhusu makundi pamoja na uanisho wa methali katika hali au masuala tofauti tofauti. Kadhalika, sura ya pili irneelezea Pengo la Maarifa na Kiunzi cha utafiti wa awali pamoja na jinsi utafiti huu ulivyoziba kiunzi au pengo li'ilo. Sura ya Tatu irnezungumzia Njia na Mbinu za Uafiti. Imezungumzia Utangulizi, Eneo la Utafiti, Sampuli ya Utafiti na Usampulishaji, Ukusanyaji wa Data. Uchambuzi wa Data na Vifaa vya Utafiti.Sura ya Nne imeeleza juu ya Uwasilishaji na Uchambuzi wa data,ambapo imeelezea aina za teknolojia ambazo huwa na dhima katika ukuzaji wa nidhamu. Sura ya tano imeeleza juu ya Muhtasari wa Utafiti na Mapendekezo.Item Open Access Dhima Ya Nyenzo Ka Tika Ufundishaji Na Ujifunzaji Wa Kjsw Ahili Ka Tika Shule Za Upili Ka Tika Muni Sp Ali Ya Kabale.(Kabale University, 2023) Ahereza, PromiseUfundishaji ni hatua inayohusisha mawasiliano kati ya mwalimu na mwanafunzi au kati ya wanafunzi wenyewe. Mawasiliano huhusisha mwanzo wa ujumbe, njia ya kupitisha ujumbe huo na mpokeaji wa ujumbe huo. Njia za upokeaji wa ujumbe huo hufanikishwa na kuwepo au kutokuwepo kwa nyenzo. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza dhima ya nyenzo katika ufundishaji wa Kiswahili katika shule za upili katika munispali ya Kabale.Item Restricted Ebimera N'ebiti Omu Igomborora Rya Ikumba, Disiturikiti Ya Rubanda, Uganda, N'endwara Ezi Birikutamba.(Kabale University, 2023) Akankwasa, SamObwahati, obukaikuru bw'abantu omu nsi yoona nibarya ninga bakozesa ebimera nk'ebyokurya, okwombeka oburaaro, okukora ebijwaro, emibazi kandi hamwe n'ebindi bintu bitari bimwe na bimwe. Ebimera ebingi biine omugasho omu nsi egi, beitu hariho ebyo ebiine omugasho kwonka abantu batarikubimanya. N'okumanya amaziina g'ebimera n'ebiti by'ekikiga n'endwara ezi birikutamba obwo turikwebuuza aha bantu abarikuzaarwa omu lgomborora rya lkumba, omu Disiturikiti ya Rubanda.Item Embargo Embaganisa Eziriho Ahagati Y’ebigambo By'orunyankore N'eby’orukiga.(Kabale University, 2024) Ayebazibwe, StephenEbi mpandiikire omu kucondooza oku nibyoreka embaganisa eziriho ahagati y’ebigambo by’Orunyankore n’Orukiga omu bagambi b’endimi ezi. Nyine obwesigye ngu ebi ncondoorize nibiza kuyamba abashomi b’ebitabo, abeegi, nangwa n’abantu ba butoosha kwetegyereza oku ebigambo by’Orunyankore birikutaana n’eby’Orukiga omu miringo etari emwe n’emwe eyorekirwe. Okucondooza oku kugyendereire kuhwera abagambi b’Orunyankore n’Orukiga, nangwa n’abagambi b’endimi ezindi, kumanya embaganisa eziriho ahagati y’ebigambo by’endimi ezi ibiri nobu zirikuhuriza munonga.Item Embargo Enfumu Z'abanyankore Bakiga Amakuru N'emigasho Yaazo.(Kabale University, 2023) Orikiriza, EudisiEbi mpandiikire nibyeereka enfumu z'Abanyankore Bakiga, amakuru hamwe n'emigasho yaazo. Hamwe n'abashomi ba butoosha kwetegyereza gye amakuru g'enfumu z'Abanyankore Bakiga hamwe n'abo abarikwenda kuguma nibakoresa enfumu z'Abanyankore Bakiga omu kwenda kubutuura orurimi kandi hamwe n'emigambire ya Runyankore-RukigaItem Embargo L'effet De L'environment Sur L'enseignement Et L'apprentissage De La Langue Francaise Dans Le District De Lira.(Kabale University, 2021) Oyugi, JacksonL'Ouganda est l'un des pays qui forment la communaute d'Afrique de l'Est. Deux pays de la communaute d'Afrique de l'Est; Le Burundi et le Rwanda ont utilise le francais comme langue officielle et comme moyen d'enseignement, bien que le Rwanda ait plus tard change la langue d'enseignement en anglais. Meme la Republique democratique du Congo, qui partageait directement des frontieres avec l'Ouganda, utilise le francais comme langue officielle et langue d'enseignement. L'etude vise specifiquement a decouvrir l'impact de l'environnement sur l'enseignement-apprentissage du francais a Lira.Item Restricted Learners' Perception of English Language Learning in Universal Secondary Schools in Kisoro District.(Kabale University, 2021) Ndagijimana, NgendaThe study investigated learners' perception of English language learning in secondary schools in Kisoro Municipality. It was guided by objectives which were to establish learners' positive perception of English learning in USE schools in Kisoro District, to investigate the learners' negative perceptions of English learning in USE schools in Kisoro District and to establish ways to improve on English learning in USE schools in Kisoro District. The study dopted a cross sectional research design. The study used a sample size of 249 respondents. Both purposive and simple random sampling techniques were used in selecting respondents. Dara collection was done using questionnaires and interview guide. The study established that English was one of favourite subjects for learners and students liked mastering English because it would help them get a good job in the future. In addition, studying English helped students to improve their personality and communicate in English effectively as well as rnabling students use modern technology effectively. The study established that that English was a difficult subject and at times students dodged its lessons. From the findings, it was established that they had not got any great wish to learn more than the basics of English. The study also established that students who claimed they got nervous in English classes were just making excuses. The study established that some students didn't attend English classes because they have negative perception towards learning it. The study found out that learners should be motivated by creating good learning environment, providing enough English instructional materials and teaching resources, assessing of students using appropriate continuous assessment strategies and encouraging students to have positive perception on learning English would improve on English learning in secondary schools in Kisoro District. The study recommended that learners should be motivated by creating good learning environment. There should be provision of enough English instructional materials and teaching resources as this would create positive perception and enhance English learning. Since effective learning takes place through interactive communication between the more knowledgeable person and the learner, there must be a more empowering plan to ensure that teachers and learners have basic capacity to use English as the medium of instruction. keywords: Learners' Perception, English Language Learning, Universal Secondary Schools, Kisoro District.Item Open Access Mchan Go Wa Utenzi Wa Mw Anakupona Ka Tika Ukuzaji Na Uendelezaji Wa Lugha Ya Kiswahili Miongoni Mwa Vijana Wa Leo Nchini Uganda.(Kabale University, 2023) Kobusingye, EudiaUtenzi wa mwanakupona ni utenzi ambao umekuwa unarejelewa na wasomi au hata na jamii nzima kwa haja ya kurekebisha nidhamu za kijamii au hata na utunzi wa ndoa za kawaida, Lugha ya kiswahili chini Uganda. Lengo kuu katika utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza mchango wa utenzi wa mwanakupona katika ukuzaji na uendelezaji wa lugha ya Kiswahili miongoni mwa VIJana wa leo nchini UgandaItem Restricted Mchango Wa Mbinu Za Kufundisha Sarufi Ya Kiswahili Kwa Ubora Wa Mazungumzo Na Utendaji Wa Wanafunzi Wa Shule Za Upili Za Umma, Tukilenga Kaunti Ndogo Ya Kambuga Wilayani Kanungu Nchini Uganda.(Kabale University, 2019) Natushemereirwe, JohnKusudi la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza mchango wa mbinu zinazotumika kufunza Lugha ya Kiswahili na umilisi wa mazungumzo ya wanafunzi katika lugha ya Kiswahili. Utafiti huu pia ulichunguza nafasi ya vifaa katika kufanikisha ufundishaji wa sarufi. Isitoshe, utafiti huu ulibainisha mazoezi wanayopewa wanafunzi ili kuimarisha sarufi na mazungumzo.Item Embargo Mchango Wa Methali Za Kiswahili Katika Kukuza Umilisi Wa Lugha Ya Kiswahili Kwa Wanafunzi Wa Shule Za Upili Wilayani Ntungamo.(Kabale University, 2024) Katsigaire, JoshuaMada ya utafiti huu ilikuwa ni Mchango wa Methali za Kiswahili katika Kukuza Umilisi wa Lugha ya Kiswahili kwa Wanafunzi wa shule za Upili Wilayani Ntungamo. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza mchango wa methali za Kiswahili katika kukuza umilisi wa lugha ya Kiswahili kwa wanafunzi wa shule za upili wilayani Ntungamo. Kwa kutumia njia ya Mahojiano mtafiti alipata data za lengo la kwanza na za lengo la pili,sampuli iliyotumiwa ni shule za upili nne (4) na wanafunzi arobaini (40) wa kidato cha tatu wanaosoma lugha ya Kiswahili, ili kupata lengo la kwanza na la pili,methali mbali mbali za Kiswahili zinanokuza umilisi wa lugha zilikusanywa halafu na kuchunguzwa ili kupata ujumbe uliyomo kwa hali ya kutimiza lengo la pili la kufafanua ujumbe uliyomo katika methali za Kiswahili zinzofundishwa kwa wanafunzi wa shule za upili wilayani Ntungamo. Matokeo ya utafiti yanaonyesha kwamba zipo methali nyingi za Kiswahili ambazo huchangia katika kukuza umilisi wa wamafunzi wa lugha ya Kiswahili na methali hizo wanafunzi wanazijua tuu kimuundo lakini kifasihi hawazielewi kwa mfano,Mwacha asili ni mtumwa,Aliye juu mngoje chini,na Kidole kimoja hakivunji chawa. Pia matokeo ya methali yanaonyesha kwamba katika shule za upili Maanisipa ya Ntungamo, walimu wa Kiswahili wanajaribu kuwafunza wanafunzi wa kidato cha pili methali za Kiswahili ili wapate ujumbe uliyomo kwa ajili ya kutimiza lengo la pili. Utatiti huu ulikuwa ni wa kiwango cha shahada ya awali, ulichunguza methali chache tu kutoka shule za upili wilayani Ntungamo. Methali zilizokusanywa zinaakasi umulisi wa lugha ya Kiswahili. Utafiti mwingine wa kina kiwango cha Umahiri unapendekezwa kufanywa ili kupata michango mbali mbali nyingine ya methali za Kiswahili zinazokuza umilisi wa lugha ya Kiswahili .Ni imani yetu kwamba, tulichokipata uwandani kinaweza kuwa ni fununu tu juu ya mambo mengi yalifichama katika methali za Kiswahili. Utafiti huu unapendekezwa kwa kiwango cha shahada ya umahiri, unaweza kufanywa ili kupata michango mbali mbali nyingine ya methali za Kiswahili zinazokuza umilisi wa Lugha ya Kiswahili.Item Embargo Methali Kama Kielezo Cha Shughuli Katika Jamii Ya Wahororo/ Wakiga Wilayani Rukungiri Nchini Uganda.(Kabale University, 2021) Nahurira, RonnetUtafiti huu unahusu methali kama kielezo cha shughuli katika jamii ya Wahororo/ Wakiga wilayani Rukungiri, nchini Uganda. Hivyo ni kwamba somo hili liliongozwa na lengo kuu ambalo lilikuwa ni kubainisha shughuli zinazoelezwa na methali za kihororo pamoja na zile za Kikiga wilayani Rukungiri.Somo hili pia lilifuata malengo mahususi ambayo yalikuwa ni pamoja na: Kwanza, utafiti huu ulichunguza shughuli zinazoweza kuelezwa na methali katika Wahororo Wakiga nchini Uganda. Pili, utafiti huu ulibainisha uhusiano kati ya methali na matawi mengine ya fasihi simulizi na jinsi yanavyoweza kutumiwa kama kielezo cha shughuli za jamii ya Wahoro/Wakiga, nchini Uganda. Tatu, utafiti huu ulibainisha changamoto zinazokumba methali kama kielezo cha shughuli katika Wahororo/Wakiga wilayani Rukungiri pamoja na njia za kukabiliana na changamoto zinazokumba methali kutumiwa kama vielezo vya shughuli za Wahororo/ Wakiga wilayani Rukungiri. Utafiti huu ulifanyiwa wilayani Rukungiri katika vijiji vya Eisherero, Nyabihinga, Omukarere pamoja na Nyakashaka. Wahojiwa wazazi walitumiwa katika utafiti huu wakati wa kutoa data, walisaidia katika kutoa data kuhusu shughuli zinazoelezwa na methali pamoja na mifano ya methali zinazoeleza shughuli hizo. Utafiti huu uligundua kuwa ingawa methali hukumbwa na changamoto tofauti tofauti, zinarejelewa sana kama kielezo cha shughuli za Wahororo/Wakiga.