Dhima Ya Nyenzo Ka Tika Ufundishaji Na Ujifunzaji Wa Kjsw Ahili Ka Tika Shule Za Upili Ka Tika Muni Sp Ali Ya Kabale.

Loading...
Thumbnail Image

Date

2023

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kabale University

Abstract

Ufundishaji ni hatua inayohusisha mawasiliano kati ya mwalimu na mwanafunzi au kati ya wanafunzi wenyewe. Mawasiliano huhusisha mwanzo wa ujumbe, njia ya kupitisha ujumbe huo na mpokeaji wa ujumbe huo. Njia za upokeaji wa ujumbe huo hufanikishwa na kuwepo au kutokuwepo kwa nyenzo. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza dhima ya nyenzo katika ufundishaji wa Kiswahili katika shule za upili katika munispali ya Kabale.

Description

Keywords

Dhima, Nyenzo, Ufundishaji, Ujifunzaji, Kjsw Ahili, Tika Shule, Upili, Kabale

Citation

Ahereza, Promise (2023). Dhima Ya Nyenzo Ka Tika Ufundishaji Na Ujifunzaji Wa Kjsw Ahili Ka Tika Shule Za Upili Ka Tika Muni Sp Ali Ya Kabale. Kabale: Kabale University.